Kifo cha Kigogo huyu chamshtua Rais Samia
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema chama kimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha mwanasiasa mkongwe nchini, John Nchimbi kilichotokea Jumapili 23 Januari, 2022. Nchimbi amefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam. Samia amemtaja marehemu Nchimbi kuwa enzi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed