Kifo cha Kigogo huyu chamshtua Rais Samia

Mwenyekiti wa Chama  cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema chama kimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha mwanasiasa mkongwe  nchini,  John Nchimbi kilichotokea Jumapili 23 Januari, 2022. Nchimbi amefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika  Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam. Samia amemtaja marehemu  Nchimbi kuwa enzi